Home » » MAKAMBI 2O14- MTAA WA KIHONDA WAHITIMISHA

MAKAMBI 2O14- MTAA WA KIHONDA WAHITIMISHA

Written By Unknown on Tuesday, 12 August 2014 | 06:47

Katika picha ni baadhi ya matukio yaliyofanyika katika hitimisho la kambi la mtaa wa Kihonda katika manispaa ya Morogoro, lililohudumiwa na Mch. Jonas Singo kutoka mtaa wa Magomeni na kwaya ya kanisa la wasabato Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Mch. Jonas Singo akizungumza na mkutano
Amenya Amosi, mwalimu wa kwaya ya Yombo Dovya akiandaa muziki kwa ajili ya watoto
Joseph Majura, kutoka kanisa la wasabato Ilala akiwaongoza watoto kwenda kuonesha matendo waliyojifunza kwa juma zima
Watoto wakionesha matendo yao
Chama cha watafuta njia (PFC) wakionesha matendo yao
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Harold Dickson | Faraji Mfinanga | +255752490120
Copyright © 2014. DR. FELIX GWAMIYE - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Harolduzg kusambazwa na Faraji Mfinanga
Proudly powered by hashocq